Leviticus 19:35-36
35 a“ ‘Usitumie vipimo vya udanganyifu unapopima urefu, kupima uzito, wala kupima wingi. 36 bTumia mizani halali, mawe ya kupimia uzito halali, efa ▼▼ Efa kilikuwa kipimo cha vitu vikavu.
halali, na hini ▼▼ Hini kilikuwa kipimo cha vitu vimiminika.
halali. Mimi ndimi Bwana Mwenyezi Mungu wako, ambaye alikutoa katika nchi ya Misri.
Copyright information for
SwhKC